Luke 22:47-48

47 aIsa alipokuwa bado anazungumza, umati mkubwa wa watu ukaja. Uliongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili. Akamkaribia Isa ili ambusu. 48Lakini Isa akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”

Copyright information for SwhKC